Ni Jukumu na Wajibu Wa kila mmoja Wetu, Kujifunza na Kubadilika. Kwa Kuiga kila Zuri au JEMA Ulionalo. Bila Visingizio Vya Makuzi au Malezi, Mazoea au Maeneo. Bila Sababu iwayo yote. Kuachana na Habari za Uzoefu Usio na Tija. #Badilika
Tag Archives: JJ Iddy
Malezi hayana kanuni.. Mungu anahitajika Zaidi.
Ukiona mtoto wako Anakua . Anakua katika njia Zinazopendeza, Zinazofaaa na kukubaliwa na Jamii isiyopotoka….. Unachopaswa kufanya ni kumshukuru Mungu, na kumuomba Zaidi Aendelee kumtunza. Malezi hayana kanuni ambayo kwayo Jamii zote zitafuata na kutunza maadili na ustawi. Kila siku mabadiliko, maendeleo na maarifa ya karibu yanaongezeka. Na kuwa chachu na Mwiba wa Makuzi naContinue reading “Malezi hayana kanuni.. Mungu anahitajika Zaidi. “